Ezekiel 30:13

13 a“ ‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo:

“ ‘Nitaangamiza sanamu
na kukomesha vinyago katika Memfisi
Kiebrania ni Nofu.

Hapatakuwepo tena na mkuu katika nchi ya Misri,
nami nitaeneza hofu katika nchi nzima.
Copyright information for SwhNEN